mbunge lusengekile

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. PreGE2025 Mbunge wa Busega Simon Lesengekile ataka Kariakoo Dabi ibadilishwe jina na kuitwa Samia Dabi

    Wakuu, Wale wapenzi wa soka la Tanzania, mna salamu zenu huku! Akiwa anazungumza bungeni leo, Mbunge wa Busega, Simon Lusengekile ametaka mchezo wa mzunguko wa pili wa Ligi Kuu Bara kati ya Yanga na Simba maarufu kama Kariakoo Dabi iliyopangwa kupigwa Juni 15, mwaka huu katika Uwanja wa...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…