maudhi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. S

    JamiiForums Tanzania Naamini kwa dhati maudhi na chokochoko za sasa za Wa-Zanzibar ni kutaka kuwaudhi wa-Tanganyika ili muungano uvunjwe. Hatutauvunja Muungano ng'o!

    Hivi karibuni niliandika kwamba ile bidii ya Raisi Samia kuchukua mikopo ya nje kila siku ilikuwa ni mkakati maalumu uliowekwa ili fedha nyingi ziende Zanzibar kama mgawo wao wa hiyo mikopo. Fedha zilizoenda Zanzibar ni nyingi sana na zinafanya mambo makubwa sana kwa sasa kubadilisha miundo...
  2. S

    JamiiForums Tanzania Kwa hali ilivyo nchini na maudhi yaliyopo, kuna siku mambo yataharibika watu watakufa sana, na sio waandamanaji pekee, maana wao wamejifunza kitu

    Kila siku naangalia hali ilivyo nchini, na kuona tabaka la viongozi wa nchii hii ni kama sikio la kufa, hawajifunzi kutokana na yaliyotokea. Bado wanadanganya watu, wanafanya ufisadi na wanajiona wao ni dunia nyingine tofauti na wale wanaowaongoza. Sasa niseme wazi. Kwamba hadi sasa huenda...
  3. JamiiForums Tanzania Hakuna kitu kinakera na kuudhi kama...

    Mtu kukukuta umekaa kwa utulivu, umeweka headphones zako masikioni, unafanya mambo yako halafu akaanza kukuongelesha upuuzi tu. Hasa huku makazini, siyo lazima kila wakati tusemeshane. Kama unataka kutongoza mwanamke au mdada unataka kumbebisha mwanaume, mtafute nje ya eneo la kazi...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…