master tindwa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. M

    TANZIA Mtangazaji wa Clouds, Master Tindwa aliyepigwa risasi azikwa leo (Novemba 3, 2025)

    Mtangazaji huyo wa Michezo alikuwa kibarazani kwake alipokumbwa na shambulizi hili. Marehemu hakuwa akiandamana lakini kama ilivyoripotiwa awali, alipigwa risasi. Leo mwili wake umepumzishwa katika “nyumba yake ya milele”. Aliwahi kufanya kazi Radio One na ITV Pumzika salama ndugu yetu...
  2. M

    GE2025 Dar: Mtangazaji wa Clouds, Master Tindwa apigwa risasi

    Tindwa amepigwa risasi akiwa kibarazani kwake tu; wala sio kwenye maandamano. Inaonekana Polisi now hawavai sare zao. Wanavaa kiraia na wanatumia magari ya kawaida. Wanaofanya matukio haya wamevaa kininja na wanatumia IST. Pole sana Tindwa
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…