Ni 2016 nilivyokuwa nime maliza kidato Cha 4 nikaona Kwa muda ambao nasubiria matokeo niende mgodini, mahesabu yangu yalikuwa kama nikifanikiwa huko basi mambo ya shule naachana nayo.
Nikapata wazo kabla ya kwenda mgodini niende kwanza Kwa mganga maana stori zilizo kuwepo ni kwamba ukienda Kwa...