.
Lengo kubwa la manabii wa uongo na mitume wa uongo ni kutafuta pesa.Ili Waweze kupata fedha wanatumia uchawi na udanganyifu.
1.ROHO YA SIMONI MCHAWI.
Mdo 8:5-13.Inasemekana huyu ndiye aliayeanzisha imani ya Wagonostiki ambayo ilisumbua sana kanisa la Wakolosai ,na hata mtume Yohana katika...