Mamlaka ya Mauritius imemkamata msaidizi wa Rais wa zamani wa Madagascar Andry Rajoelina kwa tuhuma za utakatishaji fedha.
Maminiaina Ravatomanga, ambaye alikimbilia Mauritius baada ya Rajoelina pia kuondoka nchini humo kufuatia maandamano yaliyoongozwa na vijana, alikuwa chini ya ulinzi wa...