Mgombea Ubunge Jimbo la Arusha Mjini, Paul Makonda amefafanua namna ahadi yake ya kumleta Arnold Schwarzenegger jijini Arusha itakavyotimia na Arusha kunufaika.
Soma: Makonda: Nikishinda Ubunge ntamleta Schwarzenegger mwaka mpya Arusha
Akizungumza kwenye mkutano wa kampeni za mgombea urais kwa...