Waziri wa Maji, Jumaa Aweso, ameitaka Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA) kuhakikisha wananchi wanapata huduma ya maji kwa wakati na kuondoa urasimu usio wa lazima unaosababisha ucheleweshaji wa huduma.
Akizungumza siku ya Jumanne Machi 18, 2025 wakati wa ziara yake...