majalio paul kyara

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. GE2025 Mgombea Urais kupitia Sauti ya Umma (SAU), Majalio Paul Kyara apiga kura. Zifahamu ahadi zake hapa

    Majalio Paul Kyara, mgombea urais wa Tanzania na Katibu Mkuu wa chama cha Sauti ya Umma (SAU), amepiga kura leo katika kituo cha kupigia kura cha Mbuyuni Changanyikeni, Dar es Salaam. Kyara aliwasili katika kituo hicho akiwa na mkewe, na wote walishiriki katika zoezi hilo la kidemokrasia...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…