majalio kyara

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. GE2025 Mgombea Urais SAU Majalio Kyara: Utaratibu wa vituo upo vizuri kwahiyo wananchi endeleeni kujitokeza kupiga kura

    Mgombea Urais kupitia tiketi ya Chama cha Sauti ya Umma (SAU), Majalio Kyara amepiga kura yake leo katika kituo cha Buyuni Jimbo la Ubungo. Baada ya kupiga kura alizungumza na wanaHabari akisema hadi sasa vituo vya kupiga kura utaratbu upo sawa na wananchi wanaendelea kujitokeza lakini pia...
  2. GE2025 SAU watupia lawama INEC kwa dosari za uratibu wa ratiba za kampeni

    Mgombea urais wa jamuhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Sauti ya Umma (SAU), Majalio Kyara ameilalamikia Tume huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) akidai kuwepo kwa changamoto katika uratibu wa ratiba za kampeni, jambo linalosababisha mkanganyiko na migongano katika maeneo ya mikutano...
  3. GE2025 Mgombea Urais SAU atembelea Kaburi la Baba wa taifa, aweka shada la maua

    Mgombea Urais kupitia tiketi ya Chama Cha Sauti ya Umma (SAU), Majalio Kyara Jana Oktoba 11, 2025, amezuru kaburi la Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere eneo la Mwitongo Butiama mkoani Mara na kuweka shada la maua. Kyara amezuru kaburini hapo akiambatana na Mgombea mwenza...
  4. GE2025 Mgombea urais SAU: Serikali yangu itatoa vifaa bure kwa walemavu

    Mgombea urais kupitia Chama cha Sauti ya Umma (SAU), Majalio Kyara, amesema endapo atapewa ridhaa ya kuchaguliwa kuongoza nchi serikali yake itatoa vifaa bure kwa walemavu wa aina zote ili viwasaidia katika maisha. Soma > Mgombea urais SAU aahidi ajira milion 10 kwa watanzania Akizungumza na...
  5. GE2025 Majalio Kyara aahidi kupunguza foleni na kurejesha uadilifu serikalini

    Mgombea wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Sauti ya Umma (SAU), Majalio Kyara, ameahidi kushughulikia kwa haraka changamoto ya msongamano wa magari katika jiji la Dodoma, akisema tatizo hilo limekuwa likitesa wakazi wa majiji makubwa nchini na kudhoofisha shughuli za...
  6. GE2025 Majalio Kyara: Nikipewa Urais Nitaimarisha Soko la Mbaazi kwa Wakulima

    Mgombea urais kupitia Chama Cha Sauti ya Umma Mh. Majalio Kyara amesema endapo wananchi watampa ridhaa ya kushika nafasi hiyo atahakikisha anafungua fursa ya soko la mbaazi kwenye mikoa ambayo wakulima wanazalisha kwa wingi. Kyara ameyasema hayo wakati akiwahutubia wananchi wa Kibaigwa jijini...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…