MUHTASARI (ABSTRACT)
Utafiti huu unapendekeza mkakati wa kina wa marekebisho ya muundo wa kispasheli na ugatuzi wa huduma za mijini kwa lengo la kupunguza msongamano wa magari katika Jiji la Dar es Salaam, Tanzania. Muundo wa sasa wa jiji ni wa kituo kimoja (monocentric), ambapo huduma kuu za...