Kada maarufu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Magambo Samwel amejitosa katika mbio za ubunge wa Jimbo la Kishapu kwa kuchukua fomu leo hii. Magambo amekabidhiwa fomu na Katibu wa CCM wilaya ya Kishapu Peter Mashenji.
Baada ya kukabidhiwa fomu hiyo Magambo amesema suala la kilimo litakuwa ajenda...