Hawa magaidi huchinja tu, yaani mwendo wa kutembeza mapanga kwa maskini huko DRC.
Takribani watu 90 wameuawa na wengine kadhaa kujeruhiwa baada ya waasi wa Allied Democratic Forces (ADF) kushambulia maeneo ya Kivu Kaskazini, mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC). Serikali ya...