madereva na makondakta

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Madereva na maKondakta walalamika shilingi 100 kuadimika. Tunaomba tuletewe

    Kondakta wa usafiri wa daladala wametoa malalamiko yao kutokana na kuadimika kwa sarafu ya shilingi 100 na 200 hali inayowapa ugumu kurudisha chenchi kwa abiria, wakilazimika kurudisha 500 badala ya 600. Gasper Massawe, kondakta wa daladala za Makumbusho amesema kutokana na kuadimika kwa sarafu...
  2. Madereva wa Daladala huku Daslam mna shida gani? Kwanini mna matusi sana barabarani?

    Hii hali imekuwa ikijitokeza mara kadhaa, kuanzia dereva hadi kondakta wamekua na utamaduni mbovu sana kwa kuonyesha namna walivyokosa maadili kwa kutumia lugha za matusi na maneno makali kwenye vyombo vyao vya usafiri bila kujali watu walio wapakia na wanajua fika kuwa watu wanaowapakia ni...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…