HARAKATI KAMILI ZA MACK DIZZO & UGLY FACES KWENYE GAME YA BONGO FLEVA KABLA YA CHID BENZ KUITAWALA "ILALA"
kiukweli mimi kama mack dizzo ni mtoto wa ilala pure kabisa...
Harakati na mishe zangu zote nimefanyia ilala since way back in 1990s..
" kwa kifupi ilala ndio my home street "...