Kuna tetesi tesi kuna watu wanataka kuandamana ili watu wasipige kura, nataka nikuhusieni kama kuna ndugu yake au kijana wake basi amwambie aache kwa sababu haifai, Tusubiri maandamano yatakuwepo siku moja tuu ambapo siku ya kihama tutakuwa na maandamano ya watu wote, yatawahusu Waislam...