Watanzania kwa sasa hawana sababu za msingi za kufanya maandamano mwezi Oktoba.
Tukiacha masuala ya kisiasa, maisha nchini bado ni nafuu kiasi kwamba wananchi wengi hawaoni tija ya maandamano.
Tanzania ni moja ya nchi ambazo mtu anaweza kuwa na elfu moja na akapata chakula, huku ardhi ikibaki...