Katibu wa Siasa na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi Mkoa Wa Dar Es Salaam Ally Bananga akijibu kuhusu kuzuiliwa kwa maandamano ya mara kadhaa hasa ya vyama vya upinzania, ameeleza kuwa mara nyingi wapinzani hawazuiwi kufanya maandamano bali baadhi ya maandamano yao hutanguliwa na kauli ambazo...