m-wekeza

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Je M-wekeza ya vodacom wanazingatia formula ya compound interest ya kwenye topic ya sequence and series?

    Heri ya mwaka mpya wanafamilia ya jamii forum. Kwa wenye uzoefu na m-wekeza ya voda, mfano ukiwekeza let say Tsh. 10,000,000/= kwa miaka 10 kwa riba ya 13% kwa mwaka, je baada ya miaka 10 utaweza kupata kias cha Tsh. 33,945,673.899? Kama formula ya compound interest ilivyo? Au wao voda...
  2. M-Koba na M-wekeza?

    Je, kikundi cha M-Koba kinaweza tumia huduma ya M-wekeza? Na kama kinaweza, Je utaratibu ukoje?
  3. Hizi Ndizo Faida Tano Za Kuwekeza Kwenye Mifuko Ya Pamoja....

    Mfuko wa uwekezaji wa pamoja ni aina ya kampuni ambayo inajishughulisha na uwekezaji ambapo kampuni inakusanya pesa kutoka kwa wawekezaji wakubwa na wadogo na kuwekezwa kitaalamu chini ya uangalizi wa meneja wa kampuni hiyo, Hizo fedha zinawekezwa maeneo ambayo yataleta faida, Wanaweza...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…