Shirika la Huduma za Wanyamapori Kenya (KWS) limewaonya wananchi dhidi ya kula samaki kutoka Ziwa Nakuru, likisema wanaweza kuwa hatari kwa afya ya binadamu.
Katika taarifa kali, Mkurugenzi Mkuu wa KWS Erastus Kanga alisema hali hiyo ni kama janga la kitaifa la afya, akionya kuwa samaki wasio...