Habari zenu,
Jina hili huenda si geni sana pia linaweza kuwa sio enyeji kwenye masikio ya wafuatilaji wa siasa za Tanzania, hivi karibuni kwenye mitandao ya kijamii kumekua na taarifa kuwa kada wa CCM na mjumbe wa baraza kuu la jumuiya ya vijana CCM ndugu Leodga Leonard Kachebonaho amekua...