Vijana wengi huku mtaani wamekuwa ni watu wa kulaumu wazazi wao au serikali kwamba hawapewi support ya kimaendeleo.
Hali inayopelekea maisha yao yamekuwa magumu sana, majungu kwa vijana yamekuwa mengi kitu ambacho kinafanya vijana wengi wawe na misongo ya mawazo.
Badala yake vijana waache...