kuzuia mtandao

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Kama Serikali imeamua kuzuia mtandao wa X/Twitter, kwanini taasisi za serikali na viongozi wanapost?

    Kam wamezuia maana yake hawataki watu wa access, sasa taasisi za serikali zinapo tweet taarifa kwa uma zinalenga nani azione? Au account ya Rais inapo tweet? Pia soma >www.jamiiforums.com/threads/bila-vpn-hauwezi-kuingia-x-twitter-tanzania-vipi-huko-mnaotumia-fb-na-insta.2341705/ Kama wao...
  2. Mwaka 2023, matukio 80 ya kuzuia internet yamerekodiwa katika nchi 21 duniani

    Katika muongo uliopita, serikali barani la Afrika zimeendelea kushika madaraka kwa nguvu kwa kudhibiti haki za binadamu mtandaoni na nje ya mtandao. Kwa kuongezeka kwa mahitaji ya uwajibikaji na utawala bora, watu katika nchi kadhaa wamekuwa wakitumia mitandao ya kijamii ambayo yamekuwa...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…