Habari zenu wana JF,
Nimekua nikiulizwa mswali mengi kutoka kwa wadau mbalimbali jinsi ya kuwasiliana na majini ili waweze kukupatia msaada.
Kiukweli majini wanaweza kuwasiliana na wewe kwa njia mbali mbali ila njia ambayo huitumia sana ni kwenye ndoto na ndio maana unapoota ndoto ni lazima...