Leo tarehe 16.6.2024 Katika zunguuka yangu nimefika eneo la majengo karibu na shule ya Secondari Legico Mbeya mjini. Nikakuta kuna umati wa watu nikasogea baada ya kusikia sauti za spika. Nilipofika nikawakuta watu wengi tu, sikutaka kuuliza kuna nn maana macho ninayo masikio ninayo. Nikaona...