UMELIA KWA BIDII NA WELEDI MKUBWA?
Jikaze kiume!
Wanaume hawalii!!
Usilielie kama mwanamke!! Na kauli nyingine nyingi zinazoendana na hizo kimekuwa ni kitu cha kawaida sana katika mazingira tunayoishi.
Na halafu? Unalazimishwa kukinzana na mfumo wa maumbile! Unajikuta unakubali kujikaza...