Kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Yasinta Kafulila amejitokeza kuchukua fomu ya kugombea ubunge wa Jimbo la Kigoma Kusini mkoani Kigoma.
Soma Pia: Uzi maalum wa wanaotia nia kugombea Ubunge Uchaguzi Mkuu 2025
Yasinta amekabidhiwa fomu hiyo leo Jumapili Juni 29, 2025, na Katibu wa CCM Wilaya ya...