Mnamo mwezi wa nne au tano hivi mwaka huu, sehemu ninayo kaa wakijua kuwa mimi ni kada, alikuja mjumbe kuandikisha namba yangu ya NIDA.
Nami sikusita kutoa ushirikiano.
Hata hivyo nilijiuliza maswali mengi sana.
Sasa naona majibu yanajitokeza yenyewe kupitia Polepole.