kuiba uchaguzi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mapinduzi ni kunyakua madaraka kinyume cha sheria sio tu ya jeshi kuiba uchaguzi ni mapinduzi ya utawala wa nchi

    Mapinduzi ni kunyakua madaraka kinyume cha sheria sio tu ya jeshi kuiba uchaguzi ni mapinduzi ya utawala wa nchi. Wizi wa uchaguzi ni mapinduzi pia, sio tu jeshi lipundue na kushika madaraka jeshi linaweza kusupport mwanasiasa kufanya mapinduzi na kumpa madaraka kinyume cha sheria hata kwa...
  2. G

    Kwani dini yake ndo kuiba uchaguzi kupeleka watu mochori wakiwa hai, asichafue dini kwa matendo yake

    Tumeshajua wale mashehe waliopanga kukata watu vichwa waliruhusiwa nani Lakini kwani dini yake inaruhusu wizi wa kura Kwani DINI yake inaruhusu utekaji Kwani DINI yake ndo inaruhusu kuua Kwani DINI yake ILIMRUHUSU vijana wafanyiwe mambo ya sodoma Hadi wengine wamejinyonga Hapana tusikubali...
  3. PostGE2025 Kuiba uchaguzi ilianza mdogo mdogo kudokoa hawakuanza tu kuua watu kwa siku moja pia na hii ni baada ya kuona vyombo vya usalama ni dhaifu

    Kuiba uchaguzi ilianza mdogo mdogo kudokoa hawakuanza tu kuuwa watu kwa siku moja pia na hii ni baada ya kuona vyombo vya usalama ni dhaifu. Mtu kwasasa anafanya mapinduzi ya nchi kwa kuiba uchaguzi alafu vyombo vya usalama vinajioa akili na kumpigia saluti kuwa ni rais. Wananchi tutachukua...
  4. LGE2024 Kigoma: Wakala wa CHADEMA arushiana maneno na Afisa uandikishaji baada ya kukatazwa kugusa daftari lenye orodha ya waliojiandikisha

    Wakuu, Kuna hii video kutokea huko Kasulu mkoani Kigoma inayomuonesha Afisa mwandikishaji ambaye amebainisha kuwa amepewa marufuku na TAMISEMI kwamba mawakala wa upinzani hawatakiwi kugusa daftari la orodha ya wapiga kura. Mvutano wa wawili hao umesababisha mabishano makubwa kati yao! Soma...
  5. PreGE2025 DC Longido: Mazingira ya 2020 na yale yaliyofanyika kwenye mapori yalitengenezwa na serikali ili tupite bila kupingwa!

    Siamini kama haya maneno yanatoka kinywani mwa kiongozi mkubwa Mkuu wa Wilaya ya Longido, Marko Henry Ng’umbi. Naomba tumsikilize kwa makini anavyo wadharau wapiga kura na anavyo jimwambafai kushiriki kwenye uchaguzi wa 2020. Kama viongozi wetu wapo hivi sioni kama uadilifu unaoimbwa na...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…