kufungiwa jamiiforums

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Baada ya kuijadili sana interview ya Maxence Melo kuhusu sababu ya kufungia JF, The Chanzo walazimishwa kufuta Hiyo interview Mara moja

    Nchi hii ni ya maajabu sana , Nimekuwapo wakati wa Tawala zote ila sasa hii imekuwa ya maajabu mno! Katika interview ile aligusia: 1. Kuhusu mtu mzito kumpigia simu kuhusu kwamba atapotezwa na watanzania watapiga kelele miezi kadhaa na kusahau 2. Akagusia kwanini JF imefungiwa Sasa baada ya...
  2. Khalifa Said: Kufungiwa kwa JamiiForums, Hatufanyi Hii Kazi kwa Sababu ni Rahisi, Bali kwa Sababu ni Muhimu

    Nimeyachukua maneno niliyoyatumia kwenye kichwa cha habari cha makala haya kutoka kwenye moja ya vipindi vya YouTube vinavyozalishwa na mchumi na mchambuzi wa Kiingereza, Gary Stevenson, anayeendesha kampeni dhidi ya hatari ya kukua kwa pengo kati ya walionacho na wasionacho nchini humo na...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…