Aliyekuwa Katibu wa Chama cha ACT Wazalendo Wilaya ya Songea, Bi Grace Mallya, tarehe 19/5/2025 ametangaza rasmi kuachana na chama hicho na kujiunga na Chama Cha Mapinduzi (CCM).
Akizungumza wakati wa kutangaza uamuzi huo, Bi Grace alisema ameamua kuhamia CCM kutokana na kuvutiwa na jitihada...