Kampuni ya teknolojia ya kimataifa, Uber, imetangaza kusitisha rasmi huduma zake nchini Tanzania kuanzia Januari 30, 2026.
Uber, ambayo inajulikana kwa kutoa huduma za kuunganisha abiria wanaohitaji usafiri na madereva kupitia programu ya simu, pamoja na huduma za uwasilishaji wa chakula (Uber...