kuabudu mizimu

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mlundikano wa michango makanisani itafanya watu warudi kuabudu mizimu ya kwao

    Wakuu huu ni ubashiri tu, muutunze huu uzi. Hatuna miaka mingi kabla hatujafika hapo. Michango imekuwa mingi mno. Inabadilishwa majina tu. Mingi haipo hata kwenye maandiko. Tunakoelekea itakuwa gharama sana kuwa msharika. Itakuwa ni heri uende vichakani ukaililie mizimu ya kwenu.
  2. Bora niamini Mizimu kama babu zetu, kuliko hawa waliowafanya watumwa babu zetu ni wanafiki tu

    Nashangaa kuona watu wanakesha kutwa usiku kucha kupiga kelele eti wanaomba na kusifu, ni upumbavu wa hali ya juu kushobokea watu waliowatesa ndugu zetu. Vilevile, nashangaa watu wanashinda msikitini kutwa nzima kupiga umbea na kusahau kwamba nao waliwachukua utumwani. Pia, nashangaa hao...
  3. A

    Dini siyo mila za Kizungu wala Kiarabu

    Habari wakuu, Miaka ya hivi karibuni kumekuwa na ongezeko la kampeni kubwaa sana ya kupinga Vita dini na kusema dini ni vitu vya kuletwa na majahzi tu zisifuatwe, na maneno haya utakuta wanaoongea wala siyo atheists bali ni watu wanaoamini katika Mungu sema tu wanadai kuwa mfumo wa kumuabudu...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…