Moja ya uwekezaji ambao serikali inaweza ikajivunia ni kiwanda cha sukari cha TPC kilichopo kata ya Arusha chini wilaya ya Moshi mkoani Kilimanjaro kutokana na kiwanda hicho kuonyesha ufanisi mkubwa katika kuchangia shughuli za maendeleo kwa jamii inayoishi kunguka kiwanda hicho.
TPC inajivunia...