Salaam,
Mwenyekiti mstaafu hakuwahi kukabidhi ofisi, na aliyekabidhiwa ilibidi anyamaze tu, maana sasa utasema nilikuta hilli na hili halikuwepo, nani shahidi?
Jambo Hilo Hilo limejitokeza kwa aliyekuwa balozi huko jirani na kwa akina Trump, ameachia ofisi bila kufanya makabidhiano,
Sasa...