Bila kupoteza muda asalaam alaykum
Bwana asifiwe.
Msiokua na mungu habari zenu.
Azam tv mmekua na tabia ya kukata matangazo ya mpira yakiwa mubashara.
Jambo hili linakera na kuzua sinto fahamu.
Nikweli brand yenu ni kubwa fanyeni kazi kama ma professional.
Mnakera mnakera mnakera