Mgombea wa nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameahidi kuimarisha sekta za maji na nishati endapo atapewa ridhaa kuendelea kuongoza nchi.
Chanzo: ITV
"Kwa upande wa maji tumefanya lakini bado tunajua kuna maeneo ambayo...