Wakuu najiuliza kwanini mamlaka haziweki miundombinu vizuri Karikoo yote, baadhi ya mitaa miundombinu imechakaa kana kwamba pale si kitu cha Biashara nchini na nchi jirani.
Barabara nyingi mbovu kupindukia, wakati wa mvua hapatamaniki zinajaa madimbwi, matope mpaka kero.
Miundombinu ya maji...