Ukiacha maswali juu ya usalama na ufanisi wa kuweka mradi wowote wa kijamii maeneo ya Jangwani, kumekuwa na mkanganyiko juu ya ni mradi gani hasa unajengwa maeneo hayo.
Juzi nimemsikia Samia anawahakikishia machinga kuwa mradi wa kuwajengea soko kubwa pale Jangwani uko pale pale.
Pia soma Rais...