Wengi waliambiwa lakini hawakusikia. Rais wenu aliyekuwa ''mfano wa kuigwa wa Afrika'', tayari keshalewa madaraka.
Nukuu: ''Demokrasia inaua na watu wa Burkina Faso lazima wasahau kuhusu hilo” Kapteni Ibrahim Traoré, ameiambia televisheni ya serikali ya nchi hiyo.
Kapteni Ibrahim Traoré...