kampuni za ulinzi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. C

    Mkutano wa Taasisi ya kampuni binafsi za Ulinzi Tanzania kufanyika Machi 2026 Dodoma

    Umoja wa kampuni Binafsi za Ulinzi Tanzania wanataraji kufanya mkutano wao wa kazi mnamo mwezi March 2026. Mkutano huo utakua ni fursa kubwa kwa wamiliki wa kampuni za ulinzi kupata kazi, kufahamiana, na pia kuonana na viongozi wa serikali ili kutatua changamoto zao za kibiashara. Akizungumza...
  2. C

    Taasisi ya umoja wa kampuni binafsi za ulinzi Tanzania (Ukuta) yafikishwa mahakamani kwa kesi ya madai

    Leo tarehe 1 July 2025 katika mahakama ya mwanzo mkoani iringa, taasisi husika kupitia katibu mkuu wake imefunguliwa kesi ya madai ya shilingi 2,340,000. Kesi hii itatajwa kwa mala ya kwanza tarehe 4 July 2025 mala baada ya mdaiwa kufikiwa na wito wa kimahakama ambao tayali ameupokea na nakala...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…