Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Kigamboni, jijini Dar es Salaam, kimekemea na kulaani vikali vitendo vya baadhi ya watia nia wa nafasi za ubunge na udiwani kuanza kampeni kabla ya wakati pamoja na kutoa rushwa, kinyume na taratibu na sheria za nchi.
Akitoa taarifa hiyo wakati wa...