Katika kampeni za Chama cha Mapinduzi zinazoendelea leo Septemba 24, 2025 jimbo la Ruangwa MKoani Lindi, Mgombea urais kupitia Chama hicho Samia Suluhu Hassan ameonekana akiwashukuru wamama na vijana wa hamasa wakiwa wanajigalagaza chini kwa ujio wake. Hiki kitendo kinatafsiriwa kama wananchi...