Kaimu Balozi wa Marekani nchini Tanzania, Andy Lentz, ameelezea kutoridhishwa kwake na jinsi Serikali ya Tanzania na vyombo vya habari vilivyolishughulikia suala la kukamatwa kwa raia wa Marekani aliyekuwa na silaha katika mpaka wa Sirari.
Akizungumza hivi katika mahojiano maalum...