Mgombea wa Urais kupitia Chama cha United People Democratic Party (UPDP), Twalib Kadege, amewasili katika ofisi za Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi majira ya saa 7:53 mchana, akiwa ameambatana na mgombea mwenza wake kwa ajili ya kuchukua fomu za kuwania nafasi ya Urais wa Jamhuri ya Muungano wa...