Sehemu ya mahubiri ya Mchungaji Dr.John Chege Wanjohi (PhD), kutoka nchini Kenya ambaye pia ni Balozi wa Amani wa Umoja wa Mataifa. Nimeweka tafsiri isiyo rasmi;
"Mmeona ripoti ya Larry Madowo na jinsi watu walivyouawa Tanzania? Kama tulichoona ni kweli, serikali imeua watu wengi kiasi kile...