Mgombea wa ubunge wa Jimbo la Kibamba kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Anjelah Kairuki, ameahidi kutatua kero ya maji inayowakabili wananchi katika maeneo mbalimbali ya jimbo hilo, ikiwemo Mpiji Magohe, Msigani na Mbezi Msumi.
Akizungumza katika mkutano wa kampeni uliofanyika kata ya Mbezi...
"Wakati wa uchaguzi kama huu, maneno maneno lazima yawepo, lakini mama yupo imara, amestahimili, kwa dua zenu Mungu pia hatamuacha, atasimama naye na tutavuka salama tarehe 29 Oktoba na nchi yetu itasonga mbele" -Prof. Kitila
Prof. Kitila ameeleza hayo Oktoba 09.2025, kwenye kongamano la dua...