Mwanachama wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Magembe Noni ambaye ni mzaliwa wa Geita, amechukua rasmi fomu ya kuwania uteuzi wa Chama chake kwa ajili ya kugombea nafasi ya Ubunge wa Jimbo la Geita Mjini katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025.
Soma Pia: Uzi maalum wa wanaotia nia kugombea Ubunge...