Jerry Silaa, amejiunga rasmi katika mchakato wa kuwania ubunge kwa kuchukua fomu ya kugombea Jimbo la Ukonga, jijini Dar es Salaam.
Hatua yake ya kuchukua fomu inakuja wakati ambapo Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimeanza zoezi la uchukuaji na urejeshaji fomu kwa ajili ya uchaguzi mkuu unaotarajiwa...