Mwigizaji Jacqueline Wolper ameeleza kuwa ameumizwa sana na jambo lililotokea jana Septemba 15, 2025 kati ya wanachama wa Chadema na polisi katika viunga vya mahakamani, kwenye kesi ya Tundu Lissu baada ya kuonekana Polisi wakiwashambulia kwa virungi na kujeruhi.
Amesema, "Mimi ni kioo cha...